Commercialization of the Tanzania's Food systems to catalyze growth and resilience
Mnyororo wa thamani na maelezo ya kina kuhusu mazao ya pulses / beans — Tier 1
Mikunde ni mazao muhimu kwa ajili ya lishe bora na ustawishaji wa udongo. Tanzania ni mzalishaji mkuu wa mikunde katika Jumuia ya Afrika Mashariki na inauza kwa wingi nje ya nchi.
Mnyororo wa thamani unahusisha wakulima, wakusanyaji, wachakataji na wasafirishaji nje. Mikunde mingi inasafirishwa katika hali ghafi na kusindikwa nje ya nchi.
Bonyeza zao kuona taarifa za washiriki katika msururu wa thamani